Friday, 9 August 2013

SHAHIDI ASEMA KILICHOTOKEA

BREAKING NEWS :

SHAHIDI ASEMA KILICHOTOKEA KWA WALIO

 MWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR 

 

Walio mwagiwa Tindikali Kisiwani Zanzibar walikua ni walimu wakujitolea kisiwani hapo.....
Shahidi alie shuhudia tukio hili asema bila yeye kumpeleka baharini na kumwagia maji ili kuonda tindikali hiyo basi hali yake ingekua mbaya zaidi



''Watoto wawili wakiume wenye umri wa miaka 15 alimyanyua Kristy Gee(aliyemwagiwa) na kumpeleka baharini kwasababu bahari ilikua karibu na eneo la tukio ...walimfikisha baharini na kuanza kumuosha'' alisema shahidi huyo ambaye ameomba jina lake kuhifadhiwa

Chanzo chetu cha habari kimethibitisha kua wamefikishwa nchini uingereza na hivi sasa wanatibiwa katika hospitali ya Chelsea nchini humo

No comments:

Post a Comment