Saturday, 10 August 2013

Vijimisemo vya zamani bhana!!

 

 

 

 

 


 

 Vijimisemo vya

 zamani bhana!!












Kulikuwa na vijimisemo enzi zile nikivikumbuka, huwa vinanipa burudani. Vijimisemo kama ''Utabana ngenge - wakimaanisha utakoma! ,du kinaa - yaani hakuna shida, dole tupu - yaani powa tu!! Unakumbuka vimisemo vipi, hebu tupia hapa tukumbushane!!

No comments:

Post a Comment