WAINGEREZA WAMWAGIWA
TINDIKALI VISIWANI ZANZIBAR

Kama nalia vile

Zanzibar
Imeripotiwa kuwa wanawake wawili raia wa Uingereza wamemwagiwa tindikali katika eneo la mji mkongwe uliopo Unguja jana.
Wanawake hao wenye umri wa miaka 18, ambao wamekuwa wanafanya kazi za
kujitolea katika jamii visiwani humo, walimwagiwa tindikali usoni
walipokuwa kwenye matembezi nyakati za jioni. Hata hivyo hadi sasa
wahusika wa tukio hilo hawajakamatwa.
Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi visiwani humo Mkadam Khamis
amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema msako mkali wa kuwatafuta
wahusika unaendelea.
Aidha taarifa zilizopatikana kutoka
Ubalozi wa Uingereza nchini zinasema “Serikali ya Uingereza imetoa
tahadhari kwa watalii wanaopendelea kutembelea visiwa vya Unguja na
Pemba kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu dhidi ya wageni katika
visiwa hivyo.”
WAINGEREZA WAMWAGIWA
TINDIKALI VISIWANI ZANZIBAR
![]() |
Kama nalia vile |
![]() |
Zanzibar |
Imeripotiwa kuwa wanawake wawili raia wa Uingereza wamemwagiwa tindikali katika eneo la mji mkongwe uliopo Unguja jana.
Wanawake hao wenye umri wa miaka 18, ambao wamekuwa wanafanya kazi za kujitolea katika jamii visiwani humo, walimwagiwa tindikali usoni walipokuwa kwenye matembezi nyakati za jioni. Hata hivyo hadi sasa wahusika wa tukio hilo hawajakamatwa.
Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi visiwani humo Mkadam Khamis amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema msako mkali wa kuwatafuta wahusika unaendelea.
Aidha taarifa zilizopatikana kutoka Ubalozi wa Uingereza nchini zinasema “Serikali ya Uingereza imetoa tahadhari kwa watalii wanaopendelea kutembelea visiwa vya Unguja na Pemba kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu dhidi ya wageni katika visiwa hivyo.”
Wanawake hao wenye umri wa miaka 18, ambao wamekuwa wanafanya kazi za kujitolea katika jamii visiwani humo, walimwagiwa tindikali usoni walipokuwa kwenye matembezi nyakati za jioni. Hata hivyo hadi sasa wahusika wa tukio hilo hawajakamatwa.
Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi visiwani humo Mkadam Khamis amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema msako mkali wa kuwatafuta wahusika unaendelea.
Aidha taarifa zilizopatikana kutoka Ubalozi wa Uingereza nchini zinasema “Serikali ya Uingereza imetoa tahadhari kwa watalii wanaopendelea kutembelea visiwa vya Unguja na Pemba kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu dhidi ya wageni katika visiwa hivyo.”
No comments:
Post a Comment