Sunday, 21 July 2013

kodi ya laini ya simu

 
 
 
 
                         kodi ya laini ya simu
 
Wanasiasa baada ya kimya kingi kuhusu kodi ya laini ya simu aka Simcard tax wameibuka na kushindana katika kuonekana watetezi wa wananchi na kupinga hii kodi. Sasa awe mbunge wa ***** au ***** asituletee siasa .. wajipange kupokea maoni na wito wetu yaani petition Mjengonii alafu wafute hii tozo/kodi kandamizi .. waache kutoa matamko na kulumbana .. ewe mwananchi mtanzania weka ***** pembeni na bila kujali itikadi weka  ushauri kuhusiana na hili kwani wewe mwenyewe ndiye utakae anza kusononeka huko jijiweni kwako....hahahahahaahahahah!!!!

No comments:

Post a Comment