Je, anaitwaje kwa lugha yako ya asili?
Pia taja lugha. Tijifunze kutoka kwako
Hivi huyu mdiudud uma mfahamuuuuu??????
 |
Senene wa Kagera |
huyu ndiye mdudu mwenye heshima kubwa sana Mkoani Kagera na si mwingine bali anajulikana kwa jina la senene uwe mhaya uwe Mbondei Uwe Msambaa Uwe Mzigua na hata makabila mengine utakapo kuja Mkoani Kagera ni lazima utasalimu amli tuuuu ...huyu mdudu ukukaangwa vizeri na ukatumiwa na ukamla lazima nilazima utarudisha kwa zawadu ya kitenge mdudu huyu husafirisha duniani pote kwa watu wenye asili ya huku kwetu Kagera jeeeeee uliwahu kumuonja ?????? mtafute na umuonje hakika utakubaliana na mimi....
No comments:
Post a Comment