Thursday, 8 August 2013

SIKUKU YA IDDI NA vituko vyake



Oya Iddi njema kwetu soteeeee



Ndugu zangu waislamu leo au kesho ni sikukuu ya Iddi moja ya nguzo za kukamilisha funga ya kila mwaka kukumbuka maagizo ya mtume na ni moja ya nguzo za waislamu


mimi nawaombeni nduguzetu waislamu katika fungua yenu basi kuleni na kunywa kwa kiasi huku mkikumbuka wenyeshida nao wapo nyuma yenu toeni sadaka kwa wenyeshida na mola atawabaliki uepukeni kula na kusaza

karibuni nyote katika sherebe hii kwani sherehe hii si kwenu tuu bali ni kwetu sisi sote tutashirikiana nanyi pamoja





Kunapilau, Nyamachoma, Wali wa maji, Makaronya, soda, Bia yote haya yanafanywa kwa jina la alaa




                                          KARIBUNI SANA

No comments:

Post a Comment