Television zetu jamani
Television zetu jamani
Ndugu wana jf binafsi nimeliona hili na nikaona hebu tujaribu
kushare mawazo yetu. kuna jambo linashangaza ktk vituo vyetu vya tv hapa
nchini, most of them matangazo yao wanayatoa kwa lugha ya kiswahili kwa
lengo na kujua kwamba watanzania ndo lugha yetu ya taifa na ili
taarifa au habar ifike kwa walengwa ndo maana lugha yetu hii hutumika,
sasa tatizo linakuja pale wanapotoa habar ambayo ndan yake kuna mtu
hajui kiswahili na eidha anaongea kiingereza au lugha nyingine kwanin
huwa inafikishwa hvyohvyo na hakuna hata mtafasir na wakat inajulikana
kwamba habar hyo imetolewa kwa lugha ya kiswahili. mfano mzur ni juzi
wakat wa mech ya stars na uganda, maneno ya kocha wa stars na wa uganda
yanafikishwa hvyohvyo kiingereza kwanin wakat sio kwamba watanzania wote
wanaelewa lugha hzo?...
ni hlo tu wana jf japo nimelifikisha kwa urefu zaid na ninaamin takua nimeeleweka.
No comments:
Post a Comment