Tuesday, 23 July 2013

Huu msala ungeusovu vipi

 

 
Cheka wewe

 

Huu msala ungeusovu vipi

demu wako kaenda kukutambulisha kwao kufika getini unamkuta dada ake ambae ni demu wako wa zaman kidogo unamuona kaka ake ulipgana nae kwasabab alikufumania na demu wake ulipoangalia ndani ukamuona mama ake ambae ni sugar mumy wako na ndo alokununulia gari unalotamba nalo kabla hujajua la kufanya baba ake anatokea ndani unamkumbuka ni wakili alie kutetea ktk kesi yako ya ubakaji
je ungefanyaje na demu unampenda kupita maelezo?


Chezea watu na kazi zao

CHEZEA WA2 NA KAZI ZAO...!
Mzungu kaunda NDEGE
Mchawi kaunda UNGO
Mzungu kaunda ATM
Mchawi katengeneza CHUMA ULETE
Mzungu kagundua ROBOTI ili imsaidie kazi
mchawi kagundua MSUKULE.
je, nan zaidi.?

No comments:

Post a Comment