BREAKING NEWS :
SHAHIDI ASEMA KILICHOTOKEA KWA WALIO
MWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR
Shahidi alie shuhudia tukio hili asema bila yeye kumpeleka baharini na kumwagia maji ili kuonda tindikali hiyo basi hali yake ingekua mbaya zaidi
 ''Watoto
 wawili wakiume wenye umri wa miaka 15 alimyanyua Kristy 
Gee(aliyemwagiwa) na kumpeleka baharini kwasababu bahari ilikua karibu 
na eneo la tukio ...walimfikisha baharini na kuanza kumuosha'' alisema 
shahidi huyo ambaye ameomba jina lake kuhifadhiwa
''Watoto
 wawili wakiume wenye umri wa miaka 15 alimyanyua Kristy 
Gee(aliyemwagiwa) na kumpeleka baharini kwasababu bahari ilikua karibu 
na eneo la tukio ...walimfikisha baharini na kuanza kumuosha'' alisema 
shahidi huyo ambaye ameomba jina lake kuhifadhiwa
No comments:
Post a Comment