VIJANA WENGI MAARUFU WAKILI UTUMIAJI
 WA MADAWA YA KULEVYA 
Rapper Chidi Benz amekiri kutumia madawa ya kulevya kwa muda mrefu, na 
baada ya kuzidiwa nayo ameamua kuachana nayo na kupatiwa matibabu 
Nairobi, Kenya.

 Chidi amekiri leo hii kupitia kipindi cha XXL pale alipofika kwa ajili 
ya kuachia wimbo wake mpya ambao amewaachia mashabiki kuupa jina lake.
Chidi amekiri leo hii kupitia kipindi cha XXL pale alipofika kwa ajili 
ya kuachia wimbo wake mpya ambao amewaachia mashabiki kuupa jina lake.
hidi alianza kufunguka mara baada ya kuulizwa na Fetty kuhusu ngoma hii ambayo imefanyika ndani ya wiki moja wakati alikuwa kimya mda ina maana alikuwa harikodi au?
 Chidi Benzi: ngoma nimefanya nyingi sana, zingine nimetoa lakini 
zilikuwa hazina nguvu sana kwasababu usimamiaji ulikuwa chini na kipindi
 kile kulikuwa kuna mambo mengine ambayo tulikuwa tunahusika nayo 
yanakuchanganya akili unakuwa unafikiria mawazo mengi lakini usambazi tu
 na wewe mwenyewe kujiweka kikazi nilikuwa siko hivyo.
Chidi Benzi: ngoma nimefanya nyingi sana, zingine nimetoa lakini 
zilikuwa hazina nguvu sana kwasababu usimamiaji ulikuwa chini na kipindi
 kile kulikuwa kuna mambo mengine ambayo tulikuwa tunahusika nayo 
yanakuchanganya akili unakuwa unafikiria mawazo mengi lakini usambazi tu
 na wewe mwenyewe kujiweka kikazi nilikuwa siko hivyo.
Fetty: Ulikuwa unawaza nini ambayo ilikuwa inakuchanganya akili? 
Chidi Benzi: eeeh mambo mambo tu mavitu mengi unajua binaadam 
unakua unakutana na vitu unaonana navyo unaungana na vitu unapishana 
navyo, kwahiyo vitu vitu tu.
B12: Ok kama unafikiri kwamba inaweza kutusaidia kushare na sisi au kama ni ersonal tunakuruhusu uiweke iwe personal?.
Chidi Benzi: Aaah naweza kushare kwasababu tu familia iliniambia 
nisizungumzie sana  ila naweza nikashare kwasababu nilikifanya na 
nikaamua watu wote wapate hisia kuwa Chidi amefanya, ofcourse nilikua 
najihusisha na vitu vingi ambavyo ni vilevi na nini, nilikuwa nikitumia 
vitu vingi sana kwahiyo utumizi ule ulikuwa unanifanya saa zingine 
nakuwa na hasira na mawazo mengine tofauti tofauti, namchukia kila mtu 
na nini, kwasababu natumia vitu mbavyo vinavyozidi, naweza tukaongea na 
wewe b12 hivi story lakini nitoka pale  namwambia B12 snich tu yaani 
unakuwa na anger unakuwa na hasira, kwahiyo sasa dakika ya mwisho 
nikagundua naficha watu au naamua kwenda kufanya kitu kwaajili ya afya 
yangu na maisha yangu.
B12: Mimi namaindi kujua ni vilevi vya aina gani ambavyo unavizungumzia hapa?
Chidi Benz: aaah pombe, ganja madawa na vinginevyo vinginevyo
B12: kwahiyo unataka kuniambia pamoja na kwenda Nairobi pia ulikuwa umekwenda rihab pia.
Chidi: No sikua rihab ndo maana huwa sitaki kuizungumzia wala 
kupost kwenye ma website na nini, lakini ni kama nilienda then baada ya 
kufika nikakutana na Nonini kutoka airport tu gari linaanza kwenda 
nikagundua kwanza sikufatilia kama ulikuwa ni muda wa baridi kwahiyo 
nikagundua kuna baridi, then jamaa anaanza kuniambia yooo unajua tuna 
show kama saba, nane tisa kumi, kumi na mbili, nikamwambia show ngapi? 
umeniambia show kama tatu tu, akasema eeh nilikuwa nataka tu uje 
tunashow kama 7 nane yaani show nyingi, utaweza au unadhani kuna vitu 
ambavyo utavihitaji ambavyo itakuwa ngumu kwako?
 nikamwambia yaaah kuna vitu nitavihitaji, mimi bana kuna vitu 
navyovitumia nimefikia nikikaa twenty minutes bila hivyo vitu ni noma 
yaani ni noma nachanganyikiwa nakuwa akili tena sina, kwahiyo sijui 
tutafanyaje.akaniambia Chidi na mimi unanijua, unajua yeye nikama 
anakunywa pombe lakini siku mojamoja sasa unajua mi ntapaje Chidi na 
nairobi ni gharama,
 nikamwambia ok, nikamwambia lakini pia nnawazo lingine kuna mtu 
alinitonya kuwa kunakitu ambacho kinaweza kufanyika ni pensa nyingi kama
 milioni 15 , 16 hivi za kibongo, kama kikifanyika hicho basi 
nanyofolewa kabisa hivyo ambavyo vilikuwa vinanifanya niwe hivyo, 
akaniambia hiyo naijua lakini ni process ndio maana dunia nzima 
hawafanyi hiyo unaskia watu wanakufa daily na madawa hawafanyagi hiyo 
wewe je? 
nikamwambia mi nafanya kwasababu sasa nishakutana na vitu vingi kama ni 
maumivu, ni ishu aibu nishakuta nazo za mapenzi za maisha kawaida 
ntashindwa kufanya hicho, akaniambia watu huwa wanakufa sometimes 
ikikuzidia, nikamwambia ntafanya si kuna hospitali ni dawa nitafanya.
hela ikapatikana nakumbuka tuka arrange, daktari kaja kanitibia fresh, 
kwahiyo mi sijaenda rihab wala sijatumia methadon sijui maana zile ni 
mradi tu.
Fetty: ulitibiwa kwa njia gani?
ni dawa ambayo inanunliwa na unachomwa kama mgonjwa tu, yenyewe 
inakusafisha wewe pale ambapo ulikuwa ukivuta inaenda kukaa, then baada 
ya dakika kadhaa pakikauka panakua pakavu, ni kama ile sehem inakua ni 
mbichi ukivuta, lakini ukiwa huna hela huvuti panakuwa pakavu pakikauka 
ndio unachanganyikiwa unaanza sasa kuwa na alosto, lakini kama 
ukiendelea kuvuta panakuwa pabichi unaendelea, so yenyewe inaenda ni 
kama mapovu, panasafisha panakuwa empty ni wewe mwenyewe uamue uendelea 
kuvuta ama uache kabisa, lakini yenyewe inakusafisha pale kote, unaanza 
kuwa na power, inakupa akili, uso, rangi ya uso, mwili unaanza 
kubadilika, unaanza kuwa fine.,,,,,,,so niko fresh, niko healthy, nakula
 naishi vizuri naskia vizuri na nime-calm down.
sikiliza ngoma mpya ya Chidi hapa chini, na ushauri wako wa jina unahitajika sana so tupia comment yako
MTANDAO WA WASAMBAZAJI WA MADAWA
 YA KULEVYA WABAINISHWA
|  | 
| Kukidhili kwa madawa ya kulevya | 



No comments:
Post a Comment