
ATC.... 
 
 
 Aminata Touré (Pichani), waziri wa zamani wa sheria katika Serikali ya 
Senegal, ameteuliwa kushika wadhifa wa Waziri Mkuu wan chi hiyo. Uteuli 
huo umefanya na Rais Macky Sall wa Senegal masaa tu baada ya kumtoa 
kazini Adbou Mbaye aliyemteua aliposhika madaraka mwaka jana.
 
 
Aminata Touré, aliiambia redio ya taifa ya Senegal kwamba amepokea 
uteuzi huo kama heshima kubwa kwake, wanawake wenzake na wananchi wote 
wa Senegal. Aidha, alisema amekubali amri ya rais ya kuunda serikali 
mpya....See more
|  | 
| ATC.... | 
Aminata Touré (Pichani), waziri wa zamani wa sheria katika Serikali ya Senegal, ameteuliwa kushika wadhifa wa Waziri Mkuu wan chi hiyo. Uteuli huo umefanya na Rais Macky Sall wa Senegal masaa tu baada ya kumtoa kazini Adbou Mbaye aliyemteua aliposhika madaraka mwaka jana.
Aminata Touré, aliiambia redio ya taifa ya Senegal kwamba amepokea uteuzi huo kama heshima kubwa kwake, wanawake wenzake na wananchi wote wa Senegal. Aidha, alisema amekubali amri ya rais ya kuunda serikali mpya....See more


No comments:
Post a Comment